Breaking News

Your Ad Spot

Feb 21, 2015

RAIS DR. SHEIN AFUNGUA MSIKITI MAKUNDUCHI

ms1 Msikiti mpya wa Kijiji cha Kiongoni Makunduchi wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja ambao leo umefunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein. ms2Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya ufunguzi wa Msikiti Mpya  wa Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini  Mkoa wa Kusini Unguja (kulia) Mkuu wa Mkoa Kusini Dk.Idriss Muslim Hijja.
ms3Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kuufungua     Msikiti Mpya  wa Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini  Mkoa wa Kusini Unguja na kuanza rasmi shuhuli za Ibada (kulia) Mkuu wa Mkoa Kusini Dk.Idriss Muslim Hijja.ms4 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kushoto) pamoja na Mashekhe na Viongozi na Waislamu mbali mbali wakiitikia dua iliyoombwa baada ya Swala ya Dhuhuri iliyoongozwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji (kulia) baada ya ufunguzi wa Msikiti Mpya katika Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini  Mkoa wa Kusini Unguja ms5Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa kulia) pamoja na Mashekhe na Viongozi na Waislamu mbali mbali wakiitikia dua iliyoombwa baada ya Swala ya Dhuhuri iliyoongozwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji (hayupo pichani) baada ya ufunguzi wa Msikiti Mpya katika Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini  Mkoa wa Kusini Unguja ms6 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Waislamu wa Kijiji cha Kiongoni Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja baada ya kuufungua Msikiti mpya kijijini hapo leo uliojengwa kwa nguvu za wananchi pamoja na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Mhe, Haroun Ali Suleiman. ms8 Mwalimu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu Zanzibar Dr.Sheikh Muhidin Siasa akitoa mawaidha baada ya ufunguzi wa Msikiti mpya wa   Kijiji cha Kiongoni Makunduchi  Wilaya ya  Kusini Mkoa wa Kusini Unguja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein. ms9Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji (kulia) alipokuwa akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein azungumze na waislamu baada ya ufunguzi wa Msikiti Mpya katika Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini  Mkoa wa Kusini Unguja leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages