Breaking News

Your Ad Spot

Feb 2, 2015

TIGO KUWEKEZA DOLA MILLION 30 KANDA YA KASKAZINI MWAKA 2015

unnamedKaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania Cecile Tiano(kulia) akiongea na waandishi wa habari Mkoani Arusha(hawapo pichani), wakati wa kutangaza kuongeza kwa uwekezaji wa dola za kimarekani milioni 30 kwa mikoa ya kanda ya Kaskazini mwishoni mwa wiki, kulia kwake ni Meneja Mkuu wa kanda hiyoDavid Charles.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages