Timu ya Red Arrow Football Club ya
Zambia inayoshiriki ligi kuu nchini Zambia, wakiwa kwenye picha ya
pamoja na wahudumu wa ndege ya Fastjet uwanja wa ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere Dar Es Salaam jana, tayari kurudi kwao baada ya ziara ya
wiki moja nchini Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya Ligi yao
inayotarajiwa kuanza mwenzi ujao.
Your Ad Spot
Feb 26, 2015
Home
Unlabelled
TIMU YA RED ARROW YA ZAMBIA KURUDI KWAO BAADA YA ZIARA YA WIKI MOJA NCHINI
TIMU YA RED ARROW YA ZAMBIA KURUDI KWAO BAADA YA ZIARA YA WIKI MOJA NCHINI
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269