Mwenyekiti wa Tume mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akimkaribisha Kaimu
Mwenyekiti wa Tume ya Uganda Bi. Vastina Nsanze na ujumbe wake.
Mwenyekiti wa Tume Mhe. Aloysius Mujulizi akiwa katika mazungumzo na
ujumbe wa Tume ya Kurekebisha Sheria ya Uganda ofisini kwake.
Ujumbe wa Tume ukiongozwa na mwenyekiti Mhe. Aloysius Mujulizi ukiwa
katika mkutano na wenzao wa Uganda unaoongozwa na Bi. Vastina Nsanze Mwenyekiti wa Tume Mhe. Aloysius Mujulizi (kulia) akiwa na Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Uganda katika kikao cha pamoja
Ujumbe wa Tume ukiwa katika picha ya pamoja na wenzao wa Uganda (Picha zote na Munir Shemweta LRCT)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269