Mwanamme mmoja na mwanamke wamekutwa
wamenasana wakati wakifanya mapenzi kichakani katika milima ya Don bosco
iliyopo karibu na Shule ya Sekondari Donbosco katika kata ya Didia
wilaya ya Shinyanga vijijini mkoani Shinyanga.
Habari
zinasema kuwa watu hao wamekutwa wamenasana katika mlima huo jana jioni
wakati wakivunja amri ya sita huku ikidaiwa kuwa mwanamke huyo ni mke wa
mtu.
Inaelezwa kuwa mwanamme ni mwendesha bodaboda anayefanya safari zake kutoka Didia hadi Buyubi na mwanamke anadaiwa kuwa mkazi wa kijiji cha Chembeli.
Inaelezwa kuwa mwanamme ni mwendesha bodaboda anayefanya safari zake kutoka Didia hadi Buyubi na mwanamke anadaiwa kuwa mkazi wa kijiji cha Chembeli.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269