Mtoto
wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Andrew Nyere, akiteta jambo na
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya
Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho walipofanya ziara
kijijini Mwitongo Wilayani Butiama. (Picha na Said Powa)
Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Andrew Nyerere, akimkabidhi kofia ya CCM, Kiongozi wa Chama cha
ACT-Wazalendo,
Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi
wa chama hicho walipofanya ziara kijijini Mwitongo Wilayani Butiama.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269