Breaking News

Your Ad Spot

Jun 13, 2015

RAIS KIKWETE AWASILI KUONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA ALBINO ARUSHA

mail.google.comMwenyekiti wa Chama Cha Albino Tanzania Bwana Ernest Kimaya akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) muda mfupi baada ya kuwasili leo jioni.Rais Kikwete atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya kimataifa wa Albino itakayofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid.kushoto no Bwana Godson Molel mwenyekiti wa Chama cha Albino Mkoa wa Arusha.
(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages