Breaking News

Your Ad Spot

Jun 15, 2015

TASWIRA MBALIMBALI BARABARA YA TANGA, MOROGORO NA PWANI

Mmiliki wa ujijirahaa blog akipata tukio wakati mmoja wa wagombea nafasi ya   Urais  kupitia CCM  alipotembelea Ofisi  ya Radio Mwambao iliyo ndani ya kiwanda cha Tanga Fresh.
Baadhi ya wafanyakazi wa Hifadhi ya Taifa ya  Saadani wakiweka  bango la hifadhi hiyo eneo la njiapanda ya Bagamoyo na Msata
 Taswira ya Barabara iendayo Tanga
Magari yakipishana bila tahadhari yakiwa katika mwendo kasi barabara ya Tanga
Muonekano wa barabara ya Tanga
Nyani wakipendezesha mandhari toka Chalinze kwenda Tanga maeneo ya mto Wami
Mandhari nzuri ya  Daraja la mto wami
Kijana Kumba Thadeo akionyesha umahiri  kwa kutembelea baiskeli ya taili moja  mkoani Tanga 
Mmiliki wa blog hii ya ujijirahaa  katika kiwanda cha Tanga Fresh



Mmiliki wa blog hii akiangalia umakini wa chuchu la ng'ombe bandia jinsi lilivyo tengenezwa
Mandhari ya  kuzama kwa juwa milima ya Tanga

Mwendesha baiskeli akiwa amebeba malisho ya mifugo maeneo ya Mvomero jana
Maeneo ya kilosa
Mwendesha pikipiki wa mbele yenye namba za usajili T 679 MT  akiwa ameweka miguu chini baada ya kuingia barabarani na kutaka kugongwa na gari na kupepesuka akiwa na mwenzake mwenye pikipiki yenye usajili T 232 DBF  akishuhudia mwenzake alivyotaka kuanguka
Ubebaji wa mkaa ni hatari kupita uwezo na kutumia barabara bila uangalifu
Wananchi wakiangalia ajali iliyo husisha Lori na Pikipiki  kugongana stendi ya mabasi Msamvu mkoani morogoro 
Mkazi wa Morogoro akiwa amejitwisha mzigo wa kuni ka matumizi ya nyumbani
Askari wa Usalama Barabarani wakikagua gari maeneo ya  Mlandizi mkoani Pwani
Mwendesha Pikipiki akiwa amebeba Abiria bila kuzingatia uvaaji wa kofia ngumu


Wafanya biashara ndogondogo wakiuza bidhaa zao kwa abiria waliyomo ndani ya basi maeneo ya Chalinze
 Ubovu wa barabara toka Mlandizi hadi  Chalinze waleta adha kwa watumiaji wa barabara hiyo


Taswira ya barabara ya eneo
'Utamaduni;' Sanamu la mwali wa kabila la  kikwele likiwa limewekwa pembezoni mwa barabara  Morogoro maeneo ya Chalinze,
Madereva wa magari wanavyo pishana kwa kasi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages