Breaking News

Your Ad Spot

Jul 1, 2015

MRATIBU MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA MODEWJIBLOG

IMG_6278
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho ya kazi. Kushoto aliyefuatana naye ni Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu. Kulia ni mdau wa karibu na mshauri wa mtandao wa habari Modewjiblog, Lemmy Hipolite.
IMG_6282
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, aliyeambatana na Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akiangalia moja ya documentary ya TV katika banda hilo minayoonyesha wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huu ambao walipata kuhojiwa.
DSC_0646
Mmoja wa wadau wa Modewjiblog, Rehema Pascal akiuzungumzia mtandao wa habari wa Modewjiblog alipotembelewa ofisini kwake wakati wa kurekodi 'documentary' hiyo.
IMG_6284
Pichani juu na chini ni Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiangalia kazi mbalimbali zinazofanywa kwenye mtandao wa habari wa Modewjiblog alipotembelea banda hilo katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara Sabasaba yanaoendelea kurindima katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.
IMG_6297 IMG_6304
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiondoka mara baada ya kutembelea banda la Modewjiblog, lililopo katika banda la MeTL Group.
IMG_5671
Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige akitoa maelezo juu ya mtandao huo unavyofanya kazi zake ambapo aliwataka vijana hao kutembelea mara kwa mara ikiwemo kufaidika na nafasi za ajira zinazotolewa kwenye mtandao huo zikiwemo habari za kitaifa na kimataifa, burudani, michezo, utamaduni n.k.
IMG_5688
Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige (kulia) na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale wakikabidhi zawadi za fulana maalum kwa wadau waliotembelea katika banda la mtandao huo katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara Sabasaba yanaoendelea kurindima katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.
IMG_5508
Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale akikabidhi zawadi ya kofia na fulana kwa Mmiliki wa blog ya Kajunason blog, Cathbert Kajuna (kulia) aliyetembelea banda la mtandao huo.
DSC_1164
Wadau wakiendelea kumiminika kwenye banda la Modewjiblog katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara Sabasaba yanaoendelea kurindima katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.
DSC_0795
Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale akikabidhi zawadi ya fulana na kofia kwa Mwandishi wa Michuzi blog, Chalila Kibuda aliyembelea banda hilo.
DSC_1277
Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale (kulia) akitoa maelezo ya utofauti wa habari za kwenye magazeti na blog kwa mmoja wa wadau anayesoma habari mbalimbali katika mtandao huo, Peter Chilumba.
KAWAIDA IMG_6278 Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho ya kazi. Kushoto aliyefuatana naye ni Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu. Kulia ni mdau wa karibu na mshauri wa mtandao wa habari Modewjiblog, Lemmy Hipolite. IMG_6282 Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, aliyeambatana na Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akiangalia moja ya documentary ya TV katika banda hilo minayoonyesha wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huu ambao walipata kuhojiwa. DSC_0646 Mmoja wa wadau wa Modewjiblog, Rehema Pascal akiuzungumzia mtandao wa habari wa Modewjiblog alipotembelewa ofisini kwake wakati wa kurekodi 'documentary' hiyo. IMG_6284 Pichani juu na chini ni Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiangalia kazi mbalimbali zinazofanywa kwenye mtandao wa habari wa Modewjiblog alipotembelea banda hilo katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara Sabasaba yanaoendelea kurindima katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. IMG_6297 IMG_6304 Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiondoka mara baada ya kutembelea banda la Modewjiblog, lililopo katika banda la MeTL Group. IMG_5671 Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige akitoa maelezo juu ya mtandao huo unavyofanya kazi zake ambapo aliwataka vijana hao kutembelea mara kwa mara ikiwemo kufaidika na nafasi za ajira zinazotolewa kwenye mtandao huo zikiwemo habari za kitaifa na kimataifa, burudani, michezo, utamaduni n.k. IMG_5688 Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige (kulia) na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale wakikabidhi zawadi za fulana maalum kwa wadau waliotembelea katika banda la mtandao huo katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara Sabasaba yanaoendelea kurindima katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. IMG_5508 Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale akikabidhi zawadi ya kofia na fulana kwa Mmiliki wa blog ya Kajunason blog, Cathbert Kajuna (kulia) aliyetembelea banda la mtandao huo. DSC_1164 Wadau wakiendelea kumiminika kwenye banda la Modewjiblog katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara Sabasaba yanaoendelea kurindima katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. DSC_0795 Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale akikabidhi zawadi ya fulana na kofia kwa Mwandishi wa Michuzi blog, Chalila Kibuda aliyembelea banda hilo. DSC_1277 Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale (kulia) akitoa maelezo ya utofauti wa habari za kwenye magazeti na blog kwa mmoja wa wadau anayesoma habari mbalimbali katika mtandao huo, Peter Chilumba. --

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages