Wakili Elias Nawera akionyesha alama ya dole baada ya kukabidhiwa fomu hizo. Kulia ni mgombea ubunge mkoa wa Dar es Salaam kupitia Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Lilian Mkosani.
Katibu
wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe
(kushoto), akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kawe, kada wa
chama hicho, Wakili Elias Nawera (katikati), Dar es Salaam leo mchana.
Kulia ni mgombea ubunge mkoa wa Dar es Salaam kupitia Umoja wa Vijana wa
CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Lilian Mkosani
Wakili Nawera (kulia), akiandika jambo kabla ya kulipa sh. 100,000 ya kuchukulia fomu.
Hapa akimshukuru Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe baada ya kuchukua fomu hizo.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe (kushoto), akimuelekeza Wakili Elias Nawera mambo ambayo anapaswa kuyafuata baada ya kukabidhiwa fomu hizo.
Mbunge
wa Jimbo la Kinondoni ambaye anamaliza muda wake Iddi Azani akimpongeza
Wakili Nawera baada ya kuchukua fomu hizo. Azan alifika katika ofisi za
CCM Wilaya ya Kinondoni kwa ajili ya kuchukua fomu ya kutetea nafasi
yake ya ubunge katika Jimbo hilo. (Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269