Idda
Adam ambae ni Mkurugenzi wa Mikalea Professional Tailors ambao ni
Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza,
akionyesha mavazi mbalimbali yanayopatikana ofisini kwake, Mtaa wa Ghana
GreenView, Nyamanoro Jijini Mwanza.
"Sisi
tunahusika na suala la urembo pamoja na ushonaji wa mavazi ya kila aina
ikiwemo mavazi ya Kitchen Party pamoja na Harusi (Wanaume kwa
wWanawake). Tumelenga kukata kiu ya ushonaji wa mavazi kwa wakazi wa
Jiji la Mwanza ambao awali walikuwa wakishona nguo zao nje ya Mwanza;
Pia
tunawatumia wabunifu wa mavazi kutoka Jijini Mwanza na kutumia ujuzi
wetu wa ushonaji na hivyo kuzalisha mavazi ambayo wateja wetu wamekuwa
wakiyafurahia". Anasema Idda na kuwahimiza kutembelea ofisini kwake au
kuwasiliana nae kwa nambari 0767 68 28 88.
Idda Adam anasema Mikalea Professional Tailors wabunifu na washonaji wa mavazi ya kila aina.
Mavazi mbalimbali kutoka Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza
Mavazi mbalimbali kutoka Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza
Mkurugenzi akiteta jambo na fundi wake
Mafunzi
Ushonaji wa Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji
wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza wakiendelea na shughuli za
ushonaji.
George
Binagi-Binagi Pazzo (Kushoto) akizungumza na Idda Adam (Kulia) ambae ni
Mkurugenzi wa Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa
Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269