Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akikagua mtambo wa kuchakata gesi wakati alipoutembelea
Februari 27, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Add Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akitembelea bandari ya Mtwara Februari 27, 2016.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego. |
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akisalimiana na wafanyakazi wa kampuni ya TPDC baada
ya kuwasili kwenye mtambo wa kuchakata gesi wa Madimba, Mtwara Vijijini
kukagua shughuli za gesi Februari 27, 2016.
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa TPDC baada ya kutembelea mtambo wa kuchakata gesi wa
Madimba, Mtwara Vijijini
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akikagua mtambo wa kuchakata gesi wakati alipoutembelea
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269