Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea
Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti
Mkuu wa Hesabu za Serikali Professa Mussa Assad Ikulu jijini Dar es
salaam, Machi 28, 2016
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe
Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakipitia Taarifa
ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali iliyokabidhiwa na Mkaguzi na Mdhibiti
Mkuu wa Hesabu za Serikali Professa Mussa Assad Ikulu jijini Dar es
salaam
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais
Mhe Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakiwa na
watendaji wakuu wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkafuzi Mkuu wa hesabu za
serikali baada ya kukabidhiwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali
kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Professa Mussa
Assad Ikulu jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia
Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakiwa na watendaji
wakuu wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkafuzi Mkuu wa hesabu za serikali baada
ya kukabidhiwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kutoka kwa
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Professa Mussa Assad
Ikulu jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269