Breaking News

Your Ad Spot

Mar 4, 2016

 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (Mb), akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa PEDDEREF, Nuru Saleh, juu ya misingi ya upataji nafuu kwa watumiaji wa dawa za kulevya wakati wa sherehe za kutimiza miaka 3 tangu kuanzishwa  kituo cha kusaidia watu wenye uraibu wa madawa ya kulevya cha PEDDEREF Kigamboni jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo imefanyika Ijumaa Machi, 4, 2016. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (Mb) akiagana na   Mkurugenzi wa PEDDEREF, Nuru Saleh, mara baada ya kushiriki sherehehizo

 Mraibu aliyepata nafuu ya utumiaji dawa za kulevya wa Kituo cha Upataji nafuu wa dawa hizo PEDDEREF cha Kigamboni, Kidongoni, jijini Dar esaalam, Bi. Eliza akiwaongoza washiriki wengine kusoma sala ya kukiombea kituo hicho wakati wa sherehe za kutimiza miaka 3 tangu kuanzishwa kwake, Tarehe 04 Machi, 2016
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (Mb), akikabidhiwa risala na Meneja wa PEDDEREF, wakati wa sherehe za kutimiza miaka 3 tangu kuanzishwa kituo hicho cha upataji nafuu kwa watumiaji wa dawa za kulevya, Tarehe 04 Machi, 2016, Jijini Dar es Salaam.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (Mb),(katikati waliokaa) akiwa na waraibu wa Kituo cha  Upataji nafuu wa matumizi ya dawa za kulevya (waliosimama) wakati wa sherehe za kutimiza miaka 3 tangu kuanzishwa  kituo hicho, Tarehe 04 Machi, 2016, jijini Dar es Salaam (mwenye ushungi) Mkurugenzi wa PEDDEREF, Nuru Saleh.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages