Breaking News

Your Ad Spot

Apr 27, 2016

RC SAID MECK SADIK AANZA ZIARA YA KUJITAMBULISHA HAI

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Meck Sadik akitia saini katika kitabu cha wageni alipotembelea ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Hai leo.
Mkuu mpya wa wilaya Hai , Gelasius Byakanwa (kushoto) akimuelekeza jambo Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadik alipotembelea ofisini kwake mapema leo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro , Said Meck Sadik akizungumza na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mkuu mpya wa wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa akitoa taarifa ya wilaya hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Meck Sadik alipotembelea ofisini kwake mapema leo.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Said Mderu akiandaa taarifa kwa ajili ya kukabidhi kwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro , Said Meck Sadik.
Mkuu wa Polisi wilaya ya Hai, OCD Pancras Mdimi akifuatilia taarifa ya wilaya iliyokuwa ikitolewa kwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Meck Sadik akisoma ubao wenye majina ya wakuu wa wilaya waliowahi kufanya kazi katika wilaya hiyo .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro , Said Meck Sadik akiongozana na Mkuu mpya wa wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa wakati wakitoka katika ofisi ya mkuu huyo wa wilaya.

Na Dixon Busagaga wa Blog ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages