Breaking News

Your Ad Spot

May 1, 2016

HATIMAYE KILIO CHA WAZEE CHASIKIKA, MUSWADAWA SHERIA KUWAHUSU KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA, NI BAADA YA WAZEE KUKUTANA NA WAZIRI MKUU MAJALIWA MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Mtandao wa Vyama vya Wazee Tanzania Ofisini kwake  bungeni mjini Dodoma  Aprili 29, 2016. Kushoto kwake ni Naibu Wziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoo, Dkt. Hamis Kigwangalla. Baada ya mazungumzo hayo, waziri Kigwangalla aliwaambia waandishi wa habari kuwa, Muswada wa sheria unaolinda maslahi ya wazee hapa nchini, utawasilishwa bungeni mwezi Septemba mwaka huu wa 2016 .(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana  na viongozi wa Mtandao wa Vyama vya Wazee Tanzania baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake jijini bungeni mjini Dodoma  Aprili 29, 2016. Kushoto kwake ni Naibu Wziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoo, Dkt. Hamis Kigwangalla .(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages