Breaking News

Your Ad Spot

Jun 28, 2016

WATUHUMIWA WALIOUA MSIKITINI MWANZA NA KULE MAPANGO YA AMBONI NAO WAUAWA; WALIJARIBU KUWARUSHIA MABOMU POLISI JIJINI DAR ES SALAAM

  Kaanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye kituo kikuu cha kati cha Polisi jijini Dar es Salaam leo Juni 27, 2017 huku akionyesha bomulakurusha kwa mkono (Hand Grenade) alilokutwa nalo mtuhumiwa wa mauaji ya msikitini jijiniMwanza hivi Karibuni. Kamanda Siro alisema, mtuhumiwa huyo ameuawa wakati polisi walipokuwa wakijaribu kumkamata nyumbani kwake huko Chamazi nje kidogo ya jiji, baada ya kujaribu kuwatupia bomu askari. (PICHA NA RASHID ZUBERI)
 Bomu alilokutwa nalo mtuhumiwa wa mauaji ya msikitini jijini Mwanza. Mtuhumiwa alikutwa huko Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam leo asubuhi nyumbani kwake Juni 27, 2017
 Bomu, bastola na risasi, zilizokamatwa na polisi wakati wa purukushani ya kumtia mbaroni mtuhumiwa wa mauaji ya waumini wa dini ya Kiislamu jijini Mwanza hivi karibuni. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, watuhumiwa wawili akiwemo pia aliyesababisha mauaji huko jirani na mapangoya Amboni mkoaniTanga wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi.
 Kaanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye kituo kikuu cha kati cha Polisi jijini Dar es Salaam leo Juni 27, 2017
Bomu, bastola na risasi, zilizokamatwa na polisi wakati wa purukushani ya kumtia mbaroni mtuhumiwa wa mauaji yawaumini wa dini ya Kiislamu jijini Mwanza hivi karibuni. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro, watuhumiwa wawili akiwemo pia aliyesababisha mauaji huko

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages