Breaking News

Your Ad Spot

Jul 13, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA NONDO CHA MOHAMED KULUWA NAD COMPANY



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha nondo cha Mohamed Kiluwa Group and Company  cha Mlandizi Mkoani Pwani, wakati alipokitembelea Julai 12, 2016.Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo na kushoto kwake ni mmiliki wa kiwanda, Mohammed Kiluwa. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

Baadhi ya wakazi wa Mlandizi mkoani Pwani waliofika kwenye kiwanda  cha  nondo cha Mohamed Kiluwa Group and Company Limited  wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  alipokitembelea Julai 12, 2016.
Baadhi ya wakazi wa Mlandizi mkoani Pwani waliofika kwenye kiwanda  cha  nondo cha Mohamed Kiluwa Group and Company Limited  wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  alipokitembelea Julai 12, 2016.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha nondo cha Mohamed Kiluwa Group and Company  cha Mlandizi Mkoani Pwani, wakati alipokitembelea Julai 12, 2016.Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo na kushoto kwake ni mmiliki wa kiwanda, Mohammed Kiluwa. 



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha nondo cha Mohamed Kiluwa Group and Company  cha Mlandizi Mkoani Pwani, wakati alipokitembelea Julai 12, 2016.Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo na kushoto kwake ni mmiliki wa kiwanda, Mohammed Kiluwa

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages