Breaking News

Your Ad Spot

Sep 18, 2016

KELVIN JACKSON KALASHA KATIKA GRADUATION YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SHULE YA TUSIIME, DAR ES SALAAM

 Kijana Kelvin Jackson Kalasha akitafakari kwa furaha, wakati wa Mahafali ya kumaliza kidato cha Nne katika shule ya Tusiime, Kampasi ya Tabata, Dar es Salaam, jana, Septemba 17, 2016
 Kijana Kelvin Jackson Kalasha (Kushoto) akiwa na wahitimu wenzake wa kidato cha nne, wakati wa Mahafali ya kumaliza kidato hicho katika shule ya Tusiime, Kampasi ya Tabata, Dar es Salaam, jana, Septemba 17, 2016
 "Mama Mdogo", Kijana Kelvin akimwambia Caroline Kisamo, mwanzoni mwa sherehe hiyo ya mahafali ya kidato cha nne katika shule ya Tusiime, jana. Katikati ni Mama Kelvin, Ever Kalasha
Wanafamilia wakiwa kwenye mahafali hayo. Kushoto ni Caroline Kisamo


Viongozi meza kuu wakiongozwa na mgeni rasmi wakati wakishiriki kuimba wimbo wa taifa wakati wa mahafali hayo

 Kelvin akiwa na wazazi wake Jackson Buhulula Kalasha na Mama  Ever Kalasha wakati wa mahafali hayo
 Kelvin akiwa na wazazi wake Jackson Buhulula Kalasha na Mama  Ever Kalasha wakati wa mahafali hayo
    Mgeni mwalikwa akimpongeza Kelvin wakati wa mahafali hayo. Katikati ni Jackson Kalasha
 Jackson Kalasha akiwa na Mama Ever Kalasha wakati wa mahafali hayo
 Kelvin akilisha keki mhitimu mwenzake wa kidato cha nne wakati wamahafali hayo
 Kelvin akimlisha keki baba yake, Mzee Jackson Kalasha wakati wa mahafali hayo
 Kelvin akimlisha keki Mama yake, Ever Kalasha wakati wa mahafali hayo
 Kelvin akipewa keki na mama yake, Ever Kalasha
 Ever Kalasha akimlisha keki kwa upendo mtoto wake, Kelvin Kalasha wakati wa mahafali hayo
 Ever Kalasha akionyesha furaha kwa mwane, Kelvin baada ya kumlisha keki
 Mama Ever Kalasha akimlisha keki mumewe, Jackson Kalasha, wakati wa sherehe ya mtoto wao Kelvin kwenye mahafali hayo katika shule ya Tusiime, Tabata, jana, kama ilivyoshuhudiwa na mpigapicha wa theNkoromo Blog, Bashir Nkoromo. Kwa picha kem-kem za tukio hili/ Tafadhali/>>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages