Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akisalimiana
na Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna Mufaddal
Saifuddin mara alipowasili kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini
Dar es salaam ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora
kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislamu wa 1438 leo Oktoba 8, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli
akiwasili kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam
ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha Mwaka
Mpya wa Kiislamu wa 1438
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akihutubia mbele
ya Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna Mufaddal
Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam
ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha Mwaka
Mpya wa Kiislamu
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akiagana
Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna Mufaddal Saifuddin
kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam ambako
alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha Mwaka Mpya wa
Kiislamu wa 1438
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akiagana na
waumini kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam
ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha Mwaka
Mpya wa Kiislamu wa 1438
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akisalimiana
na Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna Mufaddal
Saifuddin mara alipowasili kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini
Dar es salaam ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora
kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislamu
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akihutubia mbele
ya waumini na Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna
Mufaddal Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es
salaam ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha
Mwaka Mpya wa Kiislamu
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akihutubia mbele
ya waumini na Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna
Mufaddal Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es
salaam ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha
Mwaka Mpya wa Kiislamu
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akihutubia mbele
ya waumini na Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna
Mufaddal Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es
salaam ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha
Mwaka Mpya wa Kiislamu
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akimuaga
Kiongozi wa Jumuiya ya Mabohora Duniani, Dk Seydna Mufaddal Saifuddin
kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam ambako
alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha Mwaka Mpya wa
Kiislamu wa
PICHA NA IKULU (P.T)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269