Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Waziri wa Afya Mhe,Mahmoud Thabit Kombo mara alipowasili
katika uzinduzi wa majengo mapya ya Wodi ya Kinamama na Watoto katika
Hospitali ya Mnazi Mmoja .
/Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizari ya Afya Nd, Halima Maulid
mara alipowasili katika uzinduzi wa majengo mapya ya Wodi ya Kinamama
na Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja .
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akifuatana na Waziri wa Afya Mhe, Mahmoud Thabit Kombo pamoja na
Viongozi wengine mara alipowasili katika uzinduzi wa majengo mapya ya
Wodi ya Kinamama na Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chumba cha kulelea Watoto wachanga
wakati alipotembelea majengo mapya ya Wodi ya Kinamama na Watoto
katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya uzinduzi rasmi,(wa pili kulia)
mwakilishi wa Ubalozi wa Uholanzi Teresia Mcha .
Baadhi ya
mashine za kulelea watoto wachanga zilizomo katika jengo la watoto na
kinamama wajawazito yaliyozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein .
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na
Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Hauklend Bw.Eivend Hansen
wakikata utepe kuzindua jengo la Wodi ya Watoto wakati wa uzinduzi wa
majengo mapya ya Wodi ya Kinamama na Watoto uliofanyika katika
Hospitali ya Mnazi Mmoja.
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na
Mwakilishi wa Ubalozi wa Norwaya Bw. Victor Mlundo wakati wa kuzindua
majengo mapya ya Wodi ya Watoto Kinamama katika Hospitali ya Mnazi
mmjoja uliofanyika. [Picha na Ikulu.]11/11/2016. (P.T)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269