Breaking News

Your Ad Spot

Nov 25, 2016

WAZIRI UMMY AZINDUA KADI MPYA YA MANJANO

kadi1
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akionesha moja ya fomu ya usajili wa dawa za tiba asili kundi la pili ,uzinduzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa wizara,kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili/Mbada Dkt. Edmund Kayombo
kadi2
Waziri Ummy Mwalimu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa fomu hizo ambazo litatumiwa na waganga wa tiba asili/mbadala watakaogundua dawa
kadi3
Katika uzinduzi huo pia Waziri Ummy alizindua kadi mpya ya  chanjo ya Manjano(yellow Fever),pichani akionesha utofauti wa kadi za zamani na kadi mpya,ambapo amewasihi wananchi kuacha kuwatumia vishoka kupata kadi hizo bali kwenda kwenye vituo maalumu vinavyojulikana vinatoa chanjo hiyo,kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Otilia Gowele
kadi4
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akionesha mfano wa kadi hiyo ambayo ina kurasa nyingi tofauti na kadi ya zamani(picha na Wizara ya Afya)(P.T)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages