Breaking News

Your Ad Spot

Dec 31, 2016

BURUNDI YATISHIA KUISHTAKI AU NA KUONDOA ASKARI WAKE SOMALIA


Burundi imetishia kuushataki Umoja wa Afrika-AU na wakati huohuo kutishia  kuwaondoa askari wake waliopo katika nchini ya Somalia ambao wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda amani cha Umoja wa Afrika- Amisom.

Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amesema askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika kikosi cha Amisom hawajalipwa mishahara na marupurupu yao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa na ndipo serikali yake inataka kuwaondoa nchini Somalia, mbali na kuishtaki AU..Inaendelea>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages