· Wateja wa Airtel kupata huduma kwa haraka na karibu zaidi
· Mradi huu utachochea upatikanaji wa huduma za kifedha
· Airtel yaendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuendelea kuwekeza nchini
Shinyanga
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imetangaza mpango wake wa kuzindua ma duka Saidi ya 2000 nchini utakaowawezesha wateja wake kupata huduma na bidhaa zake za kibunifu kwa urahisi zaidi
maduka haya ya Airtel yatakuwa na muonekano unaofanana na yatakuwa katika maeneo maalumu ambayo yatawawezesha maelfu ya wakazi kupata huduma kirahisi na kukidhi mahitaji yao kwa ufanisi zaidi
Maduka hayo yatatoa huduma mbalimbali zikiwemo huduma za kifedha, huduma za intaneti, kuongeza salio , kusajili namba na pia kuunganisha wateja wapya kwenye mtandao wa Airtel
Katika kutekeleza mpango huo wa...>Inaendela
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269