Chama Cha Mapinduzi (CCM), kesho, siku ya Jumanne, Machi 21, 2017, kitapokea Ujumbe wa Viongozi na maofisa kutoka Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambao utakuwa hapa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku nne.
Taarifa iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, imesema, Ujumbe huo utakuwa na watu 19.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269