Breaking News

Your Ad Spot

Mar 20, 2017

MKUU WA WILAYA YA DODOMA MJINI CHRISTINA MDEME AKUTANA NA KAMATI NDOGO YA URATIBU UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO WA KIMATAIFA MKOANI DODOMA

 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini  Christina Mdeme akizungumza na Kamati ndogo ya Mkoa inayoratibu Ujenzi wa mradi wa Uwanja wa Michezo wa Kimataifa utakojengwa katika kata ya Nala, alipokutana na Kamati hiyo ofisini kwake mjini Dodoma, leo
 Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Mkoa ya Uratibu Mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Kimatafa, Salum Mkuya akitoa mrejesho wa mambo yaliyofanywa na Kamati yake kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini, Christina Mdeme  katika kuhakikisha Mradi huo unafanikiwa.
 Mjumbe wa hiyo ambaye ni Mwanasheria kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Evordy Kyando akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mdeme  wakati Kamati hiyo ilipokutana na Mkuu huyo wa Wilaya. 

Mjumbe wa hiyo ambaye ni Afisa Tawala Wilaya ya Dodoma Hashimu Kitambuliyo akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Christina Mdeme kuhusu mipango na mikakati iliyoweka na Kamati hiyo katika kufanikisha Mradi huo. (Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages