Breaking News

Your Ad Spot

May 15, 2017

KATIBU MKUU SIHABA NKINGA ATEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO ARUSHA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha Wageni alipofika katika kijiji cha Watoto kinachosimamiwa na Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu (SOS Children Villages) lililopo Ngaramtoni Mkoani Arusha.
Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu-SOS Children Villages Tanzania Bw.Anatory Rugaimukamu akimueleza jambo Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga wakati wa ziara ya kuangalia namna shirika hilo linavyofanya kazi.
Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu-SOS Children Villages Tanzania Mkoa wa Arusha Bw.Francis Msollo (kulia) akimueleza Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga namna shirika hilo lilivyofanikisha kutimiza ndoto za vijana wengi waliolelewa kituoni hapo Katikati ni Mkurugenzi wa Shirika hilo Tanzania Bw.Anatory Rugaimukamu.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga (kushoto) akiongea na viongozi wa Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu-SOS Children Villages Tanzania na kuwapongeza kwa jitihada wanazozifanya katika kuhakikisha wanakuza watoto na kutimiza ndoto zao,katikati ni Mkurugenzi wa Shirika hilo Tanzania Bw.Anatory Rugaimukamu na kulia ni Mkurugenzi wa Shirika Mkoa wa Arusha Bw.Francis Msollo.
Baadhi ya watoto wakiwa katika shule iliyo ndani ya Kijiji cha Watoto chini ya shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu-SOS Children Villages Tanzania
Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga(wa Pili kutoka kushoto) Mkurugenzi Maendeleo ya watoto Margaret Mussai(wa Pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu-SOS Children Villages Tanzania Bw.Anatory Rugaimukamu (wa kwanza kulia) na Mkurugenzi wa Shirika SOS Children Villages Tanzania Mkoa wa Arusha Bw.Francis Msollo (kulia) wakienda kuangalia makazi katika kijiji cha watoto.
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na watoto katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages alipofanya ziara katika shirika hilo leo Ngaramtoni Mkoani Arusha
Mama Mlezi katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages Bi. Cylichelia Byabato akimuonesha Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga sehemu ya malazi ya watoto katika Kijiji hicho leo Ngaramtoni Mkoani Arusha.
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akifurahia jambo na watoto katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages alipofanya ziara katika shirika hilo leo Ngaramtoni Mkoani Arusha
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akila chakula cha mchana na watoto katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages alipofanya ziara katika shirika hilo leo Ngaramtoni Mkoani Arusha.
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akitoa boksi la sabuni kwa mlezi wa moja ya familia inayoongoza na vijana Leo Mkoani Arusha.
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na vijana wawili wanaoongoza familia ambapo aliwapongeza kwa hatua wanazozifanya katika kuisimamia familia.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages