Kaimu
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwang'ombe,
akizungumza wakati wa hafla ya kusaini mkataba kati ya Posta na Mahakama
ya Tanzania wa huduma ya Posta Mlangoni inayotolewa na shirika hilo.
Hafla hiyo, imefanyika katika Ofisi za Mahakama ya Rufani, jijini Dar es
Salaam leo. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Hussein
Katanga na kushoto ni Mwanasheria Mkuu wa TPC, Zuhura Pinde. Waliosimama
nyuma yao, ni baadhi ya Maofisa waandamizi wa Posta na Mahakama.
Msajili
wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Katarina Revocati (kulia), akizungumza
katika hafla hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwang'ombe na
katikati ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Hussein Katanga.
Wengine nyuma kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara wa
TPC, Fadya Zam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano TPC, Elia Madulesi,
Mtendaji wa Mahakama Kuu, Leonard Magacha, Msajili wa Mahakama Kuu,
Ilvin Mugeta na Mtendaji wa Mahakama ya Rufani, Solanus Nyimbi.
Msajili
wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Katarina Revocati (kulia), akizungumza
katika hafla hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwang'ombe na
katikati ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Hussein Katanga.
Wengine nyuma kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara wa
TPC, Fadya Zam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano TPC, Elia Madulesi,
Mtendaji wa Mahakama Kuu, Leonard Magacha, Msajili wa Mahakama Kuu,
Ilvin Mugeta na Mtendaji wa Mahakama ya Rufani, Solanus Nyimbi.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Hussein Katanga akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Mwanasheria
wa Mahakama ya Tanzania, Peace Mpango (kulia), akisaini mkataba huo,
huku akiangaliwa kwa makini na Mwanasheria Mkuu wa TPC, Zuhura Pinde.
Mwanasheria
Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Zuhura Pinde, akisaini
akisaini mkataba huo, huku akiangaliwa kwa makini na Mwanasheria wa
Mahakama ya Tanzania, Peace Mpango.
Kaimu
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwang'ombe
(kushoto) na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Hussein Katanga
(kulia), wakibadilishana mkataba huo, mara baada ya kusainiwa katika
hafla hiyo.
Kaimu
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwang'ombe,
akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, jijini leo.
Msajili wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Katarina Revocati, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari katika hafla hiyo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269