Breaking News

Your Ad Spot

Apr 11, 2011

MABADILIKO CCM: WILSON MKAMA KATIBU MKUU MPYA, KINANA NAIBU WAKE

Wilson Mukama (pichani) ameteuliuwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Taarifa zilizopatikana kutoka  mjini Dodoma katika kikao  cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Abdurahman Kinana anakuwa Naibu Katibu Mkuu (Bara) wakati Salehe Feruz akiendelea na Unaibu (Zanzibar).
Taarifa zimesema  jahazi  la Itikadi na uenezi lililokuwa chini ya John Chiligati, likienda kwa Nape  Nnauye na Uchumi na Fedha kwa Zakia Meghji.

1 comment:

  1. J'aime vraiment votre article. J'ai essaye de trouver de nombreux en ligne et trouver le v?tre pour être la meilleure de toutes.

    Mon francais n'est pas tres bon, je suis de l'Allemagne.

    Mon blog:
    finance rachat credit ou Rachat De Credit au meilleur taux simulation

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages