Breaking News

Your Ad Spot

Jun 14, 2014

SPAIN UKUTA WA BISKUTI, YAKUBALI KICHAPO CHA GOLI 5 KWA 1 DHIDI YA ROBEN NA VAN PERSIE


 Robin Van Persie akimlamba chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia.
Robin van Persie alifunga bao zuri la kichwa cha umbali wa mita 30 kusawazisha kwa Uholanzi dakika ya 41 ya kipindi cha kwanza.
Haamini macho yake: Casillas huku wachezaji wa Uholanzi wakishangilia bao la Van Persie.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages