Breaking News

Your Ad Spot

Apr 13, 2015

ZIARA YA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO NDANI YA NYANDA ZA JUU KUSINI

 Viongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo wakiangalia mazao ya wakulima waKijiji cha Mkongotema wilayani Songea vijijini jimbo la Peramiho jana
aliposimamishwa kijijini hapo ili afungue tawi la chama hicho jana.
wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe wakifuatilia yaliyokuwa yakjiri kwenye mkutano huo wa hadhara jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
 Askari wa jeshi la polisi wakiimarisha ulinzi kwenye mkutano wa chama
cha ACT-Wazalendo mjini Njombe jana.
 Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Samson Mwigamba akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
 Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa Njombe wakifuatilia
kwa makini huku wakinyeshewa na mvua.
  Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
   Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akisalimiana na Wananchi mara baada ya kumaliza wahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
   Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akiondoka mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara ndani ya mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
  Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Samson Mwigamba akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.
 Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency
(ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Njombe huku akinyeshewa na mvua mjni humo jana ambapo wakazi waliojitokeza
walikubali kulowa ili kumsikiliza.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages