Breaking News

Your Ad Spot

May 19, 2015

TPDC YAANZA UTAFITI TANGA


Mkurungezi wa Utafiti Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Dkt. Emma Msaky, akizungumza na wataalam wanao endelea na uchimbaji wa visima vifupi katika Mradi Ujulikanao kama MP 10 GOMBERO DRILLING PROJECT kwa ajili wa utafiti wa mafuta na gesi kijiji cha Jihirini, wilayni Mkinga mkoani Tanga.

Mkurungezi wa Utafiti Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Dkt. Emma Msaky, akionyesha sampuli za utafiti mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) katika Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Ujulikanao kama MP 10 GOMBERO DRILLING PROJECT kijiji cha Jihirini, wilayni Mkinga mkoani Tanga.

Meneja wa Mradi wa MP 10 GOMBERO DRILLING PROJECT, Dkt. Amina Karega, akionyesha sampuli za utafiti mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kijiji cha Jihirini, wilayni Mkinga mkoani Tanga.
Na. Augustino Kasale - Kitengo Cha Mawasiliano-TPDC
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania limeanza utafiti wa mafuta na gesi eneo la Gombero, Wilayani Mkinga, Mkoani Tanga.
Mkurugezi wa Utafiti kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Dkt. Emma Msaky, mwishoni mwa wiki alitembelea kujionea shughuli inayo fanya na Shirika hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari alioambatana naye Dkt. Msaky alisema kuwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limeanza Mradi wa uchorongaji wa visima vifupi kumi (10) vya utafiti wa kijiolojia wa utafutaji mafuta na gesi katika vijiji mbalimbali mkoani Tanga ujulikanao kama MP 10 GOMBERO DRILLING PROJECT.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages