Breaking News

Your Ad Spot

Jun 10, 2015

MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAMALIZIKA


Mbunge wa viti maalumu Lucy Owenya (Chadema)akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kibosho Kilima kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali katika mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015. 

Mratibu a mashindano hayo Charles Mchau  akisalimiana na wachezaji.

Mgeni rasmi katika fainali hiz katibu wa Chadema kanda ya kaskazini Aman Golugwa akisalimiana na wachezaji.(P.T)
Mbunge Lucy Oweya akiwa ameambatana na mgeni rasmi Aman Golugwa mara baada a kukagua timu hizo.
Mgeni rasmi katika mashindano ya Lucy Owenya Cup yaliyoshirikisha timu za jimbo la Moshi vijijini,Aman Glogwa akizungumza na timu zilizoingia fainali za Kibosho Kindi na Kibosho Kilima.
Manahodha wa timu hizo mbili wakipeana mikono kusalimiana.
Timu ya Kibosho Kindi wakiomba Dua.
Timu ya Kibosho Kilima wakiomba Dua.
Waamuzi wakiwa katika picha ya pamoja na manahodha wa timu hizo mbili.
Timu ya Kibosho Kindi  katika picha ya pamoja.
Timu ya Kibosho Kilima katika picha ya pamoja.
Baadhi ya mashabiki waliohudhulia mchezo huo.
Mchezo ukiendelea.
Moja ya timu iliyoshiriki mashindano hayo Sangiti Sekondari wakifuatilia mchezo wa fainali.
Meza kuu wakifurahi mara baada ya mwamuzi kupuliza kipyenga cha mwisho ambapo timu ya Kibosho Kindi iliibuka na ushindi wa bao 3 kwa 1.
Mashabiki wa timu ya soka ya Kibosho Kindi wakifurahia ushindi huo.
Mashabiki wa timu ya soka ya Kibosho Kindi wakichukua taswira na muandaaji wa mashindano hayo.
Baadhi ya timu zilizoshiriki mashindano hayo.
Mdhamini wa mashindano hayo Lucy Owenya akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mashindabo hayo na bingwa kupatikana.
Mgeni rasmi katika mashindano hayo Katibu wa Chadema Kanda ,akizungumza wakati wa kufunga rasmi mashindano hayo na kukabidhi zawadi kwa washindi.
Mgeni rasmi ,Golugwa akikabidhi cheti kwa Mbunge Lucy Owenya kama ishara ya chama hicho kuthamini mchango wake katika kukuza vipaji vya vijana kupitia michezo.
Mgeni rasmi Aman Golugwa akikabidhi zawadi ya kikombe kwa nahodha wa timu ya Kibosho Kindi mara baada ya kufanikiwa kutwaa kikombe hicho kwa mara ya kwanza katika mashindabo ya Lucy Oweya Cup. 2015.
Mashabiki wa timu ya Kiboshi Kindi wakifurahia na kikombe chao.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages