Breaking News

Your Ad Spot

Apr 30, 2016

ABIRIA WANUSURIKA AJALI YA NDEGE MJINI BUKOBA LEO

Watu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air (pichani), waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa Bukoba baada ya ndege hiyo kupata pancha tairi ya nyuma ya upande wa kulia ilipokua inatua.
Kwa umahiri wa Rubani amaweza kuicontrol kama inavyo onekana pichani ikiwa pembezoni mwa Uwanja.
Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30,2016

 Kwahisani ya
#BUKOBAWADAU MEDIA
 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages