Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kushoto) akiwasili jijini Dar es salaam jioni leo, akitokea Jijini Kampala alikoenda kukamilisha dili la kazi ya ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, alioongozana na Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia)
pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Juliana
Pallangyo.
Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akionyesha kwa (waandishi wa habari) ramani ya mpango wa ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka nchini Uganda
mpaka Tanga, mara baada ya kuwasili uwanja wa Ndege Dar es Salaam, akitokea
Kampala. Mashariki na Kati. Picha zote na Khamis Mussa.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269