Breaking News

Your Ad Spot

Apr 25, 2016

ZANZIBAR YAZINDUA WIKI YA CHANJO AFRIKA KATIKA KIJIJI CHA KITOPE WILAYA YA KASKAZINI (B) UNGUJA.


Z4
MKUU wa wilaya ya Kaskazini B Haji Makungu Mgongo akimkaribisha Naibu waziri wa afya Harusi Said Suleiman kuzindua  wiki ya chanjo Afrika.

Z5
NAIBU Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman akiwahutubia wananchi mbalimbali wliohudhuria katika sherehe hizo zilizofanyika kituo cha afya Kitope Wilaya ya Kaskazini B Unguja.

Z1
KATIBU  Tawala wilaya ya Kaskazini B Juma Abdalla Hamad akitoa  maelezo  namna  wilaya ilivyojiandaa  kufanikisha uzinduzi wa  wiki ya chanjo Afrika katika sherehe ziliofanyika  kituo cha afya Kitope.

Z7
Naibu  Waziri wa afya akizindua Rasmi  wiki ya chanjo Afrika kwa kumpatia tone la chanjo mtoto Mudrik Ali Khamis mkaazi wa  Kitope Wilaya ya Kaskazini B Unguja.

Z2
Wananchi mbali mbali waliojitokeza katika kuitikia wito wa siku ya chanjo Afrika katika uzinduzi uliofanyika  kituo cha afya Kitope.

Z3
   KIKUNDI cha ngoma za asili cha Magereza kikitoa burudani katika sherehe za uzinduzi wa wiki ya chanjo Afrika.
Z6
Baadhi ya watoto waliojitokeza  katika maadhimisho hayo wakisubiri huduma ya chanjo.

(PICHA NA ABDALLA OMAR HABARI MAELEZO ZA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages