Naibu
Waziri wa afya Maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na Watoto Dkt. Hamisi
Kigwangalawa pili kushoto akipokea Masada wavitanda 50 kutoka kwa
Mkurugenzi wa kampuni ya Merck ya Afrika ya Kusini Stefan Maron watatu
kushoto kwa ajili ya hospitali na vituo vya afya nchini wakati
wakukabidhiwa Vitanda hivyo,magodoro 50 na vyandarua 100.
Naibu
Waziri wa afya Maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na Watoto Dkt. Hamisi
Kigwangala wa pili kushoto akipokea Msada wa Vyandarua 100 kutoka kwa
Mkurugenzi wa kampuni ya Merck ya Afrika ya kusini Stefan Maron watatu
kushoto kwa ajili ya hospitali na vituo vya afya nchini wakati wa
kukabidhiwa Vitanda hivyo,magodoro 50 na vitanda 50. (P.T)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269