Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi mwenyekiti wa Kamati ya
maandalizi ya sherehe ya maadhimisho ya maulid ya kuzaliwa Bwana
Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika jana katika Viwanja vya Maisara
Mjini Unguja,
Baadhi ya
Viongozi na waalikwa mbali mbali wakiwa katika Sherehe ya kuadhimisha
Maulid ya kuzalia Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika jana katika
Viwanja vya Maisara Mjini Unguja,ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,
Mke wa
Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein(katikati) akiwa na wake wa
Viongozi mbali mbali na Wananchi wakiwa katika sherehe za maadhimisho ya
Maulid ya kuzalia Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika jana
katika Viwanja vya Maisara Mjini Unguja,ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,
Kadhi
Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji akimkaribisha Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili
kushoto) katika Maulid matukufu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
Sherehe zilizofanyika jana katika Viwanja vya Maisara Mjini Unguja,
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
(wa pili kushoto) akimuangalia Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis
Haji akitia ubani kama ishara ya Kuyafungua Maluid matukufu ya kuzaliwa
Mtume Muhammad (S.A.W) Sherehe zilizofanyika jana katika Viwanja vya
Maisara Mjini Unguja.
Waislamu
na Wananchi waliohudhuria katika sherehe tukufu ya Maulid ya kuzalia kwa
Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika jana katika viwanja vya Maisara
Mjini Unguja,
Ustadh
Ali Muombwa Hassan wa Chuo cha Kiislamu akitoa Tafsiri ya Qur’aan Tukufu
ya Suratul Touba (Aya 128 hadi 129) iliyosomwa katika sherehe tukufu
ya Maulid ya kuzalia kwa Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika jana
katika viwanja vya Maisara Mjini Unguja
Wanafunzi
wa Madressa Hidayatul Munineema na Nurul Islamia ya Mpendae Mjini
Unguja wakisoma Qaswida YaRabii Swali katika sherehe tukufu ya Maulid ya
kuzalia kwa Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika jana katika viwanja
vya Maisara Mjini Unguja,
Ustadh
Mohamed Khamis Rashid wa Kiweani Pemba akisoma maulid Barzanji mlango wa
kwanza katika sherehe tukufu ya kuzalia kwa Mtume Muhammad (S.A.W)
zilizofanyika jana katika viwanja vya Maisara Mjini Unguja, [Picha na Ikulu.] 12/12/2016.(P.T)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269