Breaking News

Your Ad Spot

Jun 17, 2014

MSANII AY NA MREMBO FARAJA KOTTA NYALANDU WATEULIWA KUWA MABALOZI WA UNICEF.

Mrembo aliyewahi kushika taji la Miss Tanzania ,Faraja Kotta Nyalandu akiwa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ambwene Yesaya "AY"katika viwanja vya hosptali ya wilaya ya Hai.
Mwakilishi wa Unicef Tanzania Dk Jamal Gulaid akiwatangaza Mrembo aliyewahi kushika taji la Miss Tanzania ,Faraja Kotta Nyalandu akiwa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ambwene Yesaya "AY kuwa mabalozi wa UNICEF katika kampeni ya Tokomeza Ukatili dhidi ya watoto.
Mrembo aliyewahi kushika taji la Miss Tanzania ,Faraja Kotta Nyalandu akiwa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ambwene Yesaya "AY" wakati wa kutangazwa kuwa mabalozi wa UNICEF.
Mwakilishi wa Unicef Tanzania Dk Jamal Gulaid akimkabidhi barua ya uteuzi Mrembo aliyewahi kushika taji la Miss Tanzania ,Faraja Kotta Nyalandu ya kuteuliwa kuwa balozi wa UNICEF katika kampeni ya Tokomeza Ukatili dhidi ya watoto.
Mwakilishi wa Unicef Tanzania Dk Jamal Gulaid akimkabidhi barua msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ambwene Yesaya "AY" ya kuwa balozi wa UNICEF katika kampeni ya Tokomeza Ukatili dhidi ya watoto.
Mabalozi wa UNICEF ,Faraja Kotta Nyalandu na Ambwene Yesaya "AY wakijadiliana jambo muda mfupi baada ya kutangazwa kuwa mabalozi wa UNICEF katika kampeni ya Tokomeza Ukatili dhidi ya watoto.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages