Breaking News

Your Ad Spot

Jun 16, 2014

TIMU YA TANZANIA MOVIE TALENTS YAFURAHIA KUUNGANA TENA NA JAJI MONALISA BAADA YA KUREJEA KAZINI LEO ASUBUHI


Yvonne Cherry au Monalisa akiwa kwenye meza ya Majaji Asubuhi hii mara baada ya kurejea Kazini.

Baada ya Kumalizika Kwa Msiba wa Marehemu George Tyson ambae alikuwa Mzazi Mwenza wa Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT), Bi Yvonne Cherry au Monalisa amerudi tena kazini leo asubuhi na kuendelea na Majukumu yake kutokana na shindano la Tanzania Movie Talents kusimamishwa Kwa muda kutokana na Msiba huo uliotokea wiki kadhaa zilizopita.

Timu ya Tanzania Movie Talents (TMT) inafurahi sana kuungana na Jaji Monalisa katika majukumu ya kila siku ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages