Baadhi ya wanafunzi wakiwa na mabango
Maadhimisho
hayo yaliendana na mafunzo ya uokoaji wa watu na mali zao pindi
itokeapo ajali ya moto katika magari ambapo Askari wa Kikosi cha
Uokoaji akitoa mfano kwenye maadhimisho hayo
Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Sara Dumba (wa pili kushoto), akiwa kwenye Maadhimisho hayo yaliendana na mafunzo ya uokoaji wa watu
na mali zao pindi itokeapo ajali ya moto katika magari ambapo Askari
wa Kikosi cha Uokoaji akitoa mfano kwenye maadhimisho hayo
Mkuu
wa Wilaya Sara Dumba akikata utepe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Dk. Rehema
Nchimbi wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Nenda Kwa Usalama
Mkoa wa Njombe na Viakisi Mwanga kutokana na Sheria Mpya ya Usalama
Barabarani, kuanzia Gari Tani 3 na Nusu na Magari ya Abiria yote ya
Abiria yatawekewa viakisi Mwanga, ambapo yalizinduliwa Agosti 27 2015 na
kilele limefanyika Septemba 2, mwaka huu katika maeneo ya Uwanja wa Shule ya Msingi Bakita Roma Katoliki.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269