Breaking News

Your Ad Spot

Jul 18, 2016

DK SHEIN AZUNGUMZA NA KAMATI YA UCHANGISHAJI FEDHA ZA MADAWATI



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiizindua rasmi kamati ya wajumbe wa  kuchangisha fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawati katika Skuli za Zanzibar  katika ukumbi Ikulu ndogo Kibweni leo.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiizindua rasmi kamati ya wajumbe wa  kuchangisha fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawati katika Skuli za Zanzibar  katika ukumbi Ikulu ndogo Kibweni leo,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages